Matilda Martin Redd's Miss Dar Center 2012 |
Hatimaye kinyang’anyilo cha kumsaka Redd's Miss
Dar City Center 2012, kimemalizika jana usiku katika ukumbi wa Golden
Tulip,jijini Dar es salaam huku Matilda Martin akiibuka mshindi.
Nafasi ya pili
imeshikwa na Magdalena Munisi wakati ile ya tatu ikikamatwa na Witness Michael.Washiriki
wote walotinga tano bora wanenda moja kwa moja kujiunga na wenzao kwenye
mashindano ya kanda ya Ilala’jijini Dar es salaam.
Shindano hilo liliambatana na
burudani kutoka kwa mwanamziki mashuuri wa mziki wa bongo fleva Naseeb Abdul a.k.a
Diamond Platinum.Pia Wema Isaac Sepetu
alikuwa ni miongoni mwa majaji katika shindano hilo
Redd's Miss Dar City Center 2012,Matilda Martin (katikati) akiwa na mshindi wa pili wa taji hilo,Magdalena Munisi (kushoto) na Mshindi wa tatu,Witness Michael |
0 comments for "MATILDA MARTIN AIBUKA MSHINDI REDD'S MISS DAR CITY CENTER 2012"