Latest Stories

TOP 5 Most Popular Post

Recently Comments

FFFFFFFFFFFFF

FFFFFFFFFFFFF
XXXXXXXXXXX

FFFFFFFFFFFFF

FFFFFFFFFFFFF
XXXXXXXXXXX

WEMA SEPETU AOGOPA KUMTUNZA DIAMOND 0 Comments

By Unknown
Saturday, June 16, 2012 | Posted in ,

Ilikuwa ni usiku wa kuamkia jumamosi hii(june 16) ambapo Wema Sepetu na Diamond Platinum kwa mara nyingine tena waligongana uso kwa uso  katika ukumbi wa Golden Tulip,jijini Dar es salaam.Wote wawili walikuwa waalikwa katika kinyan'ganyilo cha kumsaka Redd's miss Dar city center kilichofanyika jijini Dar es salaam.
Wadau wengi walikuwa wakisubiria waone kama Wema Sepetu angethubutu kuinua makalio yake  na kwenda kumtunza Diamond stejini kitu ambacho Wema hakuthubutu kufanya kuhofia fedhea ambayo angeweza kuipata kwa mara nyingine.
 Itakumbukwa kuwa mwishoni mwa mwezi machi mwaka  katika show ya “Diamond are forever” iliyofanyika Mlimani City Wema sepetu alipata fedhea ya mwaka pale ambapo  Diamond alizikacha pesa za Wema alikuwa akimtunza stejini.
 Wakati Diamond akitumbuiza usiku wa jana  Wema alioneka ni mwenye shauku huku akitabasabu.Wema alikuwa ni miongoni mwa majaji katika kinyang'anyilo hicho ambapo Matilda Martin aliibuka kidedea.

Diamond akiwapagawisha mashabiki wake

Wema Sepetu akifuatilia kwa makini show ya Diamond usiku wa jana

 

 

 

 



Follow any responses to the RSS 2.0. Leave a response

Leave a reply

0 comments for "WEMA SEPETU AOGOPA KUMTUNZA DIAMOND"