Alichoandika Dogo Janja baada ya kuona maneno ya Instagram ya Young Dee kuhusu Babu Tale na Chid Benz
Headlines za mkali wa Hip Hop, Chid Benz bado hazikwisha kwenye mitandao ambapo Dogo Janja alipost kile ambacho hakupendezwa baada ya kuona maneo ya instagram ya Young Dee kuhusu Babu Tale na Chid Benz.
Baada ya video kusambaza na kuanza
kuchukua headlines ikiashiria Babu Tale amejitosa kumsaidia rapper huyo
Young Dee aliandika haya kupitia ukurasa wake wa instagram na kusema…‘‘Challenge
kwako blaza hii ni aibu sidhani Kama kuna die hard fan wa ukweli wa
chidi Kama ataipenda hii Au ata Kama ni kweli una mpango wa kumsaidia
kama manager bora Afrika..! Nimeiona hii nmeshtuka tale! Babu Tale umeniangusha Kwa hili.. Starting to heal but kill the best rapper mbele ya macho ya watanzania’ – Young Dee
Maneno hayo yalionekana kumkwaza Dogo
Janja ambaye naye kupitia ukurasa wake wa instagram naye alipost kile
alichokiandika Young Dee na kusema…’Young
Mpengaji… Mtazidi Kupenga Kisa Stress Mpaka Totoro..Nawanyima Chakula
Mwaka huu Mule Magodoro! Ukiona Mwenzako Ananyolewa Na Wewe Tia Maji’ – Dogo Janja
0 comments for " "