Latest Stories

TOP 5 Most Popular Post

Recently Comments

FFFFFFFFFFFFF

FFFFFFFFFFFFF
XXXXXXXXXXX

FFFFFFFFFFFFF

FFFFFFFFFFFFF
XXXXXXXXXXX

0 Comments

By Mpwapwa kona
Wednesday, May 25, 2016 | Posted in

Misri Watangaza Kikosi Kitakachoivaa Taifa Stars

 Misri Watangaza Kikosi Kitakachoivaa Taifa Stars

Kocha wa Misri mwenye asili ya kiajentina Hector Coper amewajumuisha kikosini wakali Mohamed Elneny na Mohamed Salah wanaovuma katika vilabu vyao kwa sasa kwa ajili ya mchezo wao dhidi ya Taifa Stars mapema mwezi juni mwaka huu.
Kikosi kamili ni kama kifuatavyo;
Makipa: Ahmed El-Shennawy, Essam El-Hadary, Sherif Ekramy
Mabeki: Ahmed Fathi, Ahmed Hegazy, Ali Gabr, Ayman Ashraf, Hamada Tolba, Hazem Emam, Karim Hafez, Mohamed Abdel-Shafy, Rami Rabia, Sabry Rahil
Viungo: Abdallah El-Said, Amr Warda, Hossam Ashour, Mahmoud Hassan, Mohamed Elneny, Mohamed Ibrahim, Momen Zakaria, Tarek Hamed
Washambuliaji: Amr Gamal, Ahmed Hassan ‘Koka’, Marwan Mohsen, Mohamed Salah

Follow any responses to the RSS 2.0. Leave a response

Leave a reply