Latest Stories

TOP 5 Most Popular Post

Recently Comments

FFFFFFFFFFFFF

FFFFFFFFFFFFF
XXXXXXXXXXX

FFFFFFFFFFFFF

FFFFFFFFFFFFF
XXXXXXXXXXX

0 Comments

By Mpwapwa kona
Wednesday, May 25, 2016 | Posted in

Wema Sepetu na ‘maumivu’ ya kupata ‘Mtoto’ ameandika haya Instagram.

 Wema Sepetu na ‘maumivu’ ya kupata ‘Mtoto’ ameandika haya Instagram.

Wema ni staa wa filamu aliyejizolea heshima za kutosha kutokana na umahiri wake katika kazi, lakini staa huyo ‘analia’ na kukosa mtoto.
Wasanii wenzake na baadhi ya mashabiki wamekuwa wakimpa faraja kila kukicha kuhusiana na swala hilo.
“Iko siku na mimi ntaitwa Mama” ameandika kupitia ukurasa wake wa Instagram akiambatanisha na picha aliyokumbatiana na mama yake.

Follow any responses to the RSS 2.0. Leave a response

Leave a reply