Wema Sepetu na ‘maumivu’ ya kupata ‘Mtoto’ ameandika haya Instagram.
Wasanii wenzake na baadhi ya mashabiki wamekuwa wakimpa faraja kila kukicha kuhusiana na swala hilo.
“Iko siku na mimi ntaitwa Mama” ameandika kupitia ukurasa wake wa Instagram akiambatanisha na picha aliyokumbatiana na mama yake.



0 comments for " "