Wimbo Utaongea Yaliyo Moyoni Mwangu – Nuh Mziwanda
Msanii Nuh Mziwanda ambaye alikuwa akitoka kimapenzi na Shilole kabla ya
kuachana amefunguka na kusema kuwa kwa sasa yeye hataki kuongea jambo
lolote ila mambo yote ambayo yanamsumbua moyoni mwake ameyaongea kupitia
wimbo wake mpya.
0 comments for " "