LULU AHUZUNISHWA NA POST YA SHABIKI
Wengi
wamefurahia ushindi wa Waigizaji wa Tanzania Lulu pamoja na Richie
kwenye tuzo za Africa Magic Viewer’s Choice Awards 2016 na sasa
tumeendelea kushuhudia comments na post mbalimbali kwenye mitandao ya
kijamii baada ya ushindi huo ambapo uhuru ambao kila mmoja anao kuandika
chochote kwenye mitandao hii unaweza kufikia kukwaza watu wengine
Lulu
ambaye alishinda tuzo ya Movie bora Afrika Mashariki kupitia movie yake
ya ‘Mapenzi’ alihuzunishwa na post moja iliyoandikwa kwenye mtandao wa
Instagram ikisema >>> ‘Jamani
umbea mtamu khaaaa, yani umbea mtamu kama kuku jamani, bwana leo kuna
mtu kanifata DM kanipa Umbea na mimi sitaki kuongeza chumvi‘
‘Haya
soma mwenyewe, mambo Duller? naomba unifiche jina langu, ni kweli
kabisa Lulu anahusika na ajali iliyotokea jana watu wakafa wengi, mimi
nipo Nigeria, alimuomba rafiki yangu Mnigeria ampeleke kwa mganga mkubwa
hata wa kitoa kafara yeye atafanya, kwa mganga akaambiwa aongee yote
chini ya mti na dawa akapewa ya kutupa njia panda yoyote usiku wa manane‘
0 comments for " "